
Zifuatazo ni faida ya majani ya mparachichi.
Majani ya parachichi humsaidia mwanamke ambaye hupata maumivu wakati wa hedhi.
Unachotakiwa kufanya ni;
Chukua majani kiasi ya mparachichi, kisha yachemshe kwenye maji lita
moja, ukijiridhisha yamekwisha chemka epua kisha yaache yapoe, kisha
anza kunywa maji hayo kiasi cha nusu kikombe cha chai, kunywa muda wa
asubuhi na jioni kwa muda wa wiki moja utaona mabadiliko.
1. Majani ya mparachichi husaidia sana kuongeza kiwango cha maziwa kwa kinamama.
2. Unachotakiwa kufanya ni
Tatatafuna jani moja la parachichi kila siku, lakini hakikisha jani unalotafuna liwe katika hali ya safi na umeliosha vizuri.
3. Pia majani haya ya mparachichi ni msaada sana katika kutibu majeraha,
ili kufanikiwa katika hili unapaswa kusaga majani hayo kisha weka
kwenye sehemu yenye jeraha na utaona mafanikio,
4.Majani ya mparachichi pia husaidia kuimarisha kinga dhidi ya magonjwa mbalimbali.
Pia tunda la parachichi linafaida nyingi sana kwana ni tamu ukila kama lenyewe lakini pia ni tiba ya magonjwa mbalili , juice yake pia ni tiba.
Hizo ni faida chache kati ya nyingi ambazo hutibika na majani ya parachichi.